Orodha ya wabunge waliowika zaidi bungeni


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Bunge la Tanzania la miaka hii 10 limekuwa na wabunge machachari katika uchangiaji hoja ukilinganisha na mabunge yote yaliyopita na hii ni kutokana na nguvu kubwa ya upinzani.
Ndani ya muongo huu Tanzania imeshuhudia wabunge wa upinzani wakitisa bunge hilo wakiwemo akiwemo mbunge wa zamani wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe, Tundu Lissu na wengine wengi.
Ifuatayo ni orodha ya wabunge 10 waliochangia hoja na kuuliza maswali zaidi na waliochangia kidogo
  1. John J. Mnyika 2. Tundu Lissu 3.Moses Machali 4. Murtaza Mangungu 5. Diana Chilolo 6. Leticia Nyerere 7. Halima Mdee 8. Felix Mkosamali 9. Zitto Kabwe 10. Selemani JaffoWaliochangia kidogo 2010-2015
    1. Mohamed Said Mohamed 2. Balozi Seif Ali Idd 3. Kisyeri Chambiri 4. Mohamed Seif Khatibu 5. Edward Lowassa 6. Godfrey Mgimwa 7. Turky Hassan Abdallah 8. Ali Haji Juma 9. Khamis Ali Kheir 0. Mwanahamisi Khasim Said
    Mtazamo wa wasomi
    Prof. Gaudence Mpangala wa Chuo Kikuu ca Ruaha amesema hatua ya Wabunge kukaa kimya ina sura mbili. Kwanza, Wabunge hao hujiona ni sehemu ya Serikali hivyo kuogopa kuikosoa. Pili, ni kuwa na upeo mdogo wa mambo. Hawaa uwezo wa kuelewa na kuuliza au kuchangia.
Chanzo: Mwananchi
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks