Picha: Basi la Ngorika lagongana na Ratco, 10 wafariki


Idadi ya vifo vya abiria bado haijajulikana japo inadaiwa kuwa abiria waliopoteza maisha ni wengi
Idadi ya vifo vya abiria inadaiwa kuwa ni 1o na majeruhi 30
Basi la Ngorika na Ratco yamegongana uso kwa uso na kusababisha idadi kubwa vya vifo vya abiria.
Mabasi hayo yaligongana katika katika eneo la Msata lililopo wilaya ya Handeni, mkoani Tanga na kudaiwa kusababisha vifo vya abiria 10 na kujeruh wengine 30, kwa mujibu wa jeshi la polisi wa eneo hilo
Basi la Ngorika likiwa limeharibika vibaya mbele baada ya kugongana na basi la Ratco katika eneo la Msata
Basi la Ngorika likiwa limeharibika vibaya mbele baada ya kugongana na basi la Ratco katika eneo la Msata
Baadhi ya maiti zimeanza kutolewa katika mabasi hayo, huku zoezi la kuendelea kuwatoa wengine likiendele katika eneo hilo.
Basi la Ratco lilikuwa likifanya safari ya kutoka mkoa wa Tanga kuelekea jijini Dar es Salaam
Mabasi yakiwa yameanguka baada ya kugongana na kusababisha vifo vya abiria
Mabasi yakiwa yameanguka baada ya kugongana na kusababisha vifo vya abiria 10
Baadhi ya mashuhuda wakishuhudia baada ya kutokea ajali hiyo Msata iliyopo katika eneo la Bagamoyo
Baadhi ya mashuhuda wakishuhudia baada ya kutokea ajali hiyo Msata iliyopo katika eneo la Tanga
Picha hizi ni kwa hisani ya Mtandao wa Mabalozi wa Usalama barabarani Tanzania (RSA).


Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks