Zari sina tatizo na Baba wa watoto wangu


Mwanadada Zari amesema kuwa anampenda Diamond, na kuhusiana na mume wake Ivan aliyezaa nae watoto watatu bado wanaendelea kuwasiliana kama kawaida.
zari-diamond4
Zari ameongea kupitia mahojiano yaliyofanya na Enewz ya eatv hivi karibuni akisema kuwa yeye ni mama wa watoto watatu wa kiume, na amelaumu sana uvumi uliosambaa kuwa ana mtafaruku mkubwa na baba wa watoto wake huyo na hapa anaelezea kama ifuatavyo.
-Zari_and_Ivan_233252109
The Boss Lady pia akaamua kuweka hisia zake za wazi kwa staa wa muziki wa Bongo Diamond Platinumz baada ya tetesi zikizidi kuendelea juu ya mahusiano yao ya kimapenzi.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks