Picha: Tukio la Mhe. Frederick Sumaye akihamia Ukawa

Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Frederick Sumaye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza uamuzi wa kuhama Chama cha Mapinduzi na kutimkia Ukawa
Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Frederick Sumaye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza uamuzi wa kuhama Chama cha Mapinduzi na kutimkia Ukawa
Sumaye akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
Sumaye akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
Sumaye akijibu maswali ya waandishi wa habari
Sumaye akijibu maswali ya waandishi wa habari
Sumaye akisalimiana na mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia
Sumaye akisalimiana na mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia
Sumaye akisalimiana na mgombea urais Mhe. Edward Lowassa
Sumaye akisalimiana na mgombea urais Mhe. Edward Lowassa
Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)
Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Picha na Chadema Blog
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks