Utafiti uliofanywa na CIES Football Observatory imethibitisha kuwa mchezaji wa Barcelona Lionel Messi ndiye mchezaji mwenye thamani kubwa duniani kulikomchezaji yeyote kwa sasa. Kwa mujibu wa utafiti thamani ya Messi ni mara mbili kwa thamani ya Cristiano Ronald...>>>
Utafiti huu unasema
Lionel Messi Ni £161millioni
Cristiano Ronaldo £85.2millioni
Luis Suares £79.4millioni
Eden Hazard £61.2millioni
Nyemar £50.6millioni
Gareth bale £50.9millioni
Falcao £22.7m
Lamela £13.6m
CIES Football Observatory wanatumia mfumo uligundulika toka mwaka 2005 na utaonyeshamategemeo yao kwa mshindi wa kombe la dunia baada ya wiki moja kutoka sasa.
0 comments:
Post a Comment