UNAJUA HII KWELI: ATM ya kwanza yafunguliwa Somalia

Somalia wamewekewa ATM ya kwanza katika mji mkuu Mogadishu.
Somalia wamewekewa ATM ya kwanza katika mji mkuu Mogadishu.
Somalia wamewekewa mashine ya kwanza ya kutolea pesa (ATM) katika mji mkuu, Mogadishu.
Baadhi ya watu wanachanganywa na namna mashine hiyo inavyofanya kazi kwa sababu hawakuwahi kutumia hapo awali, ameripoti Mohamed Moalimu wa BBC kutoka katika mji huo....>>>

Mashine hiyo, imewekwa na Benki ya Salaam Somali katika hoteli ya soko la juu, inaruhusu wateja kutoa dola za Kimarekani.
Somalia ina sekta ndogo ya kibenki, huku watu wengi wakitegemea malipo ya pesa kutoka kwa watu kutoka nje.
Maendeleo yake yamekuwa yakiathiriwa na vita vya zaidi ya miongo miwili vinavyohusisha koo na makundi ya wanamgambo wa kidini.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks